Ilikua
show yenye shangwe kuanzia mwanzo mpaka mwisho pale Ney wa Mitego
alipomuita shabiki jukwaani ili aimbe sehemu ya Diamond kwenye single ya
‘Muziki gani’ on stage kwenye Serengeti Fiesta 2013 Shinyanga.
Ni shabiki ambae hakuwa ameandaliwa lakini anamkubali Diamond na
bahati nzuri siku hiyo alikua amevaa t shirt yenye jina la Diamond… leo
sijui show ya Ney wa Mitego itakuaje hapa 88.1 Mwanza CCM Kirumba.
Kama anavyoonekana kwenye picha fan huyu wa Diamond
www.thefameshow.blogspot.com
Kama anavyoonekana kwenye picha fan huyu wa Diamondwww.thefameshow.blogspot.com
No comments:
Post a Comment