Baada ya Black Rhyno, mwanafamilia mwingine wa bongoflava apata mtoto wa kike
Baada
ya Black Rhyno kutangaza kupata mtoto wa kike jana, huyu tena ni
mwanafamilia mwingine wa muziki wa Tanzania aliyetangaza kupata mtoto wa
kiume. Mwanafamilia huyu sio mwingine bali ni
Babu Tale ambaye ni meneja wa kundi la Tiptop Connection. Kupitia
ukurasa wake wa Instagram ameandika “My new kaka. Asante mungu”. Pongezi
nyingi kwake na familia yake. www.thefameshow.blogspot.com
Picha kwa hisani ya Babu Tale
No comments:
Post a Comment